THIERRY HENRY ATUNDIKA NJUMU
Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa Thierry Henry ametangaza kustaafu kucheza kandanda baada ya miaka 20. Henry, aliyeshinda Kombe la Dunia mwaka 1998, na ambaye amepachika mabao mengi zaidi kwa klabu ya Arsenal, aliondoka klabu ya New York Red Bulls mwezi huu. Kulikuwa na tetesi kuwa huenda angekwenda kuchezea timu nyingine.
"Imekuwa ni safari ya kusisimua," amesema Henry, 37. Thierry Henry sasa anajiunga na kituo cha TV cha Sky Sports kama mchambuzi wa soka. Mfaransa huyo, ambaye pia aliwahi kuichezea Monaco, Juventus na Barcelona, alipachika mabao 175 katika ligi kuu ya England na ni wa nne katika wafungaji bora.
Henry alishinda makombe mawili ya Ligi Kuu ya England, makombe matatu ya FA akiwa na Arsenal aliyoichezea kati ya 1999 hadi 2007.
Aliongeza Kombe la Klabu Bingwa Ulaya akiwa na Barcelona mwaka 2009 na alirejea Arsenal kwa mkopo, wakati akiichezea Red Bulls mwaka 2012.
Entertainment - Gossip - Life Style - News - Photos - Sports
Tafadhali Share na marafiki story hii
Picha ikiwa inaonyesha Kitoto kikiwa kimetupwa kwenye Dampo Makaratasi unayoyaona yalitumika kumziba.
Na Alen John.
Katika kipindi cha mwisho wa mwaka tumekuwa tukishuhudia matukio mbalimbali ambayo mengine yakiwa yanasababishwa na sisi binadamu na mengine mengine yakiwa yanajitokeza kutokana na mazingira tunayoishi na matukio mengi yakiwa niyakuhuzunisha,Mabaya na hata mazuri pia.
Tukio ambalo ni lakusikitisha ni hili lililotokea jana ambambo mwanamke mmoja alijifungua na kutupa kichanga Dampo akiwa kakifunga kwenye Mfuko wa Plasstik maarufu kama Rambo. Kwa mazingira na hali halisi ya tukio inaonyesha alijifungulia hapo hapo Dampo na kumwacha hapohao mtoto huyo na Ndipo asubuhi ya leo watu waliokuwa wakielekea kwenye shughuli zao zakila siku walipomkuta mtoto huyo tayari akiwa amesha Fariki.
Tulifanikiwa kuongea na mmoja aliyekuwa wa kwanza kumwona wakati akiwa anapita alisema ''Nilikuwa na pita nikapata wazo lakuangalia mtoni na ndipo nikaona kitu kama mtoto kikiwa kimezungukwa na nzi ndipo nilipoamua kusogea jirani na kugundua kuwa ni mtoto'' Alisema Shuhuda Huyo.
Juhudi za Kumpata mwanamke aliye fanya Kitendo hicho bado hazijafanikiwa japo watu wa mtaa huo wa meamua kuzunguka mtaa hadi mtaa,Nyumba hadi nyumba ili kubaini aliyefanya Kitendo Hicho Cha Kikatili.
Unyama huo umefanyika Maeneo ya Kimara Kilungule Mtaa Wa Dole ambapo Polisi walishapewa Taarifa Toka Asubuhi Lakini Mpaka chanzo chetu cha habari kinatoka eneo la tukio walikuwa bado hawajafika.
Hapo chini ni Picha zikionyesha Kichanga kikiwa Kimetupwa na tayari kikiwa Kimefariki.
Picha ya Mtoto huyo akiwa ameshafariki baada ya kutelekezwa na Mama yake alipojifungua.
Wananchi waliokuwa wakiangalia mwili wa Kichanga Huyo aliye tupwa Dampo.
Unafikiri chanzo Hasa kinachosababisha mama kubeba ujauzito na kufika wakati wa kujifungua akaamua kumtupa mtoto nini sababu? Toa maoni yako hapo chini.
Entertainment - News - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
Diamond was recently accused of bullying his Kenyan counterparts during a concert held in Mombasa in recent times.
According to reports by various sites both in Kenya and Tanzanian , Diamond showed 'diva behavior ' and kicked Nyota Ndogo and Susumila out of the V.I.P section after denying them bottled water. A claim that both Nyota and Sususmila have rubbished.
Diamond expressed his disappointment on the said reports and even called out some blogs in the careless spread of potentially harmful information:
Nimesikitishwa Sana na habari zilizoandikwa na moja ya chombo cha habari, kuwa eti nliwanyanyasa wasanii wenzangu Nyota ndogo na Susumila, kwa kuwafukuza kwenye VIP lounge na sijui eti niliwazuia wasitumie maji ya chupa hivi inaingia akilini kweli hii!!!?
Ningependa kutumia nafasi hii kuwajulisha mashabiki zangu waliokutana na story hizo kuwa sio za kweli ni zenye lengo la kudhoofisha Mahusiano yetu mazuri ya wasanii Wa Africa mashariki..kama BigEye ya Uganda ilivyowahi kuandika habari za upotoshaji Kati yangu na Jose Chameleone.. Pia Nawasihi @Bongofive ni vyema mtambue Nafasi yenu kwenye jamii kwa sasa, Kuweni makini na baadhi ya habari mnazo post ama kureport kutoka baadhi ya mitandao, zinavunja mahusiano mazuri ya wasanii wa East Africa...kumbukeni kuna watu wana tabia ya kujudge kitu kwa kusoma kichwa cha habari tu pasipo kufuatilia undani wa habari...Yawezakuwa mwaandika kwa nia njema tu, lakini ni vyema muwe mnapata na uhakika kwanza kabla ya kuripoti, hususan story za kutengeneza chuki kama hizi....kufanya hivyo ndiyo mtasaidia kukuza industry yetu ya East Africa...
Entertainment - Gossip - Music - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
One Mohammed Snu, suspected to be gay, was killed by his alleged partner, Mohammed Umar, in a hotel room in Garki, Abuja.
According to Punch, the crime was carried out last Thursday, December 4, as the assaulter stabbed the victim multiple times in the ribs with a screw driver.
It is reported that Snu used to be a regular guest at the hotel and on the fateful day invited Umar for sexual intercourse. However, the situation turned violent when the victim refused to pay for the second round of sex.
A source from the hotel disclosed that the two had sex twice, but Snu did not want to pay for the second time, which caused an argument and a fight.
The source, who pleaded for anonymity, narrated how the body of the victim was discovered.
“The man had just come back from a mosque where he went for prayers with his partner when we heard a loud noise from his room and a voice saying ‘ya kuri (please, don’t be angry)’. By the time we forced the door open, we saw Umar standing naked and Snu lying dead on the bed with stab injuries on his body. We immediately called the police and Umar was arrested.”
The police led the hotel manager to the station for interrogation over the incident, which generated an uproar among the residents who gathered to discuss the murder.
READ ALSO: Homosexuality Is Genetic, Scientists Say
The FCT Police Public Relations Officer, Peter Okechukwu, confirmed the incident, having provided however a bit different version of the tragedy. According to him, Snu complained of pain in the ribs and invited Umar to the room.
“In the course of the massage, Snu asked Umar to undress for sex, and from there, they engaged in a scuffle leading to the stabbing of the deceased by the suspect. It was the loud noise from their room that attracted the hotel workers.
“When our men got to the hotel, we found the deceased and the suspect naked. Investigations have commenced and we will soon know what actually transpired behind the closed door.”
It would be recalled that homosexual relations themselves became a crime in Nigeria, when in the beginning of this year President Goodluck Jonathan signed the anti-gay bill, which stipulates 14-year punishment for the violators.
Documentary - Entertainment - Gossip - News - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
Watu nchini Marekani wameelezea ghadhabu na hasira zao kwenye mitandao ya kijamii kufuatia utafiti wa mtaalamu wa wanyamapori Paul Roslie kumezwa na Nyoka aina ya Anaconda ili ku chunguza maumbile ya ndani ya Nyoka huyo.
Lengo la utafiti huo ambao ulikuwa wa kwanza wa aina yake duniani, ilikuwa ni kuchunguza maumbulie ya ndani ya Nyoka huyo anayepatikana katika msitu wa Amazon.
Hata hivyo inaarifiwa bwana Paul alilazimika kusitisha utafiti wake ambao umezua utata muda mfupi tu baada ya kuuanzisha.
Watu nchini Marekani walijionea kwenye televisheni zao kipindi kilichokuwa kinapeperushwa cha mtaalamu huyo kuingia ndani ya tumbo la Anaconda akiwa amevalia vazi maalum ambalo yangesaidia kuchunguza kiwango cha joto mwilini mwake na pia kupima mipigo ya Moyo wake wakati akiwa ndani ya tumbo la Nyoka huyo.
Paul na vazi alilotumia kuingia ndani ya Nyoka kabla ya kushindwa na kusalimu amri
Rosolie na kikundi cha wasaidizi wake walipata Nyoka ya Anaconda mwenye uzito wa kilo 180, walipokuwa katika msitu huo. Alipanga kuwa ataonyeshwa kwenye stesheni hio akiwa anamezwa mzima mzima na Nyoka huyo.
Rosolie alionekana akiingia ndani ya mdomo wa Anaconda kwa kichwa chake huku wenzake wakimtazama.
Alikuwa amevalia vazi maalum lenye Carbon na likiwa limepakwa damu ya Nguruwe, kabla ya kujielkeza kwa Nyoka huyo kama mlo wake.
"sikutana kumhangaisha mno mnyama na pia mimi mwenyewe sikutaka kujiumiza. ''
Paul anapenda sana kujihusisha na maswala ya wanyama hasa Nyoka
"nilitaka kuhakikisha kuwa vazi langu halitamjeruhi Nyoka huyo kwa vyovyote vile.''
''Mimi mwenyewe sikuogopa hata kidogo. Watalaamu walifanyia jaribio vazi langu, kwa hivyo tulijua kuwa halitamwathiri kwa vyovyote Nyoka huyo. ''
Lakini baada tu ya saa moja ya mtaalamu kuingia ndani ya tumbo la Nyoka na kuanza kubanwa, aliamua kusitisha utafiti wake akihofia kuwa angeumizwa na Nyoka huyo mkubwa. Alisikika akiwaita wenzake kwa kifaa maalum cha kupaza sauti kilichokuwa kimewekwa kwenye vazi lake na kuwamabia kuwa anaumizwa.
''Nahisi kama mifupa yangu inasagwa sagwa, njooni mniondoe hapa.'' alisema Paul.
Namna ambavyo Rosolie aliponea kufa baada ya kubanwa na Nyoka huyo bado ni muujiza ingawa aliweza kupata hewa kutokaa kwa vazi lake hilo kwa saa tatu.
Documentary - Entertainment - Gossip - Life Style - News - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
Mziki wa Tanzania unazidi kukua na kuzidi kujulikana Africa na nje ya Afrika kwa kasi na hii imesababisha Tasnia nyingine kuweza kuendelea ikiwa ni Pamoja na Music Production,Video Production pamoja na Cover Design nazo zimekuwa nisehemu ya kuutangaza wimbo na kujulikana zaidi.
Kwa Mwaka 2014 tumeshuhudia mapinduz makubwa kwenye Tasnia ya music tanzania ambapo tufanikiwa hata kutwaa tuzo kubwa kama Tuzo za CHOMVA,Afrima na nyingine Kubwa na kuweza kuiletea sifa Tanzania.
Kwa mara ya kwanza mtandao wa News4timeblog.com inaweza kukuletea Top10 Music Cover zilizokuwa nzuri zaidi kwa Mwaka 2014. Hapa tumeangalia Design,Graphic, Picture pamoja na mambo mengine yanayohusiana na Graphics.
Tumeorodhesha na majina Ya waliyo ya Design japo wengine ilikuwa ni ngumu kuwafamu kutokana na Kutokuweka signature kwenye kazi Zao. Tizama Listi hapo chini na utoe maoni kitu gani kiongezwe kwenye Cover Design kwa 2015.
NB: Listi Hapo chini ni kwa mujibu wa mtandao wa News4timeblog.com Hivyo unaweza kutuarifu kama kuna Cover ambalo wewe unaona lingeweza kuchukua Nafasi kwenye hiyo listi na haukuliona Coment yako hapo chini Ni Muhimu na Pia unaweza kutuandikia kwa info@news4timeblog.com .
Documentary - Entertainment - Life Style - Music - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
As the saying goes Money speaks and tomorrow is bullshit, A Nigerian Tycoon has buried his mother in a brand new monster hummer.
Our sources have revealed that the Nigerian billionaire is based in Enugu and that he tinted the Hummer with designs that are worth $1000.
The pictures have been spreading on social media like wild fire among the commentators
Documentary - Entertainment - Gossip - News - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
Meet 9-year-old Kristina Pimenova -- she's the "world's youngest supermodel," or "the most beautiful girl in the world" -- a model who boasts nearly 400k followers on Instagram and over 2 million Facebook fans. In the comments section of both platforms, Kristina is hailed as "hot," "sexy," and a "babe." What's wrong with this picture? Here's a hint: if your answer is "nothing," then you're probably part of the problem, too.
Kristina -- and her parents, who are just awful for allowing their 9-year-old to enter the psyche-damaging world of modeling -- has been modeling since the age of 3, and for big-name clients like Cavalli, Versace, and and Vogue, amongst others, too. Her mother (a former model herself, of course) and father (a soccer player for Russia) decided Kristina would model back when she was a baby, after people advised them that Kristina had extraordinary features.
This little girl is beautiful, no doubt -- but if we're being honest, the fact is that this little girl likely has a super hard life ahead of her. As for her parents allowing this kind of profession -- as well as their promotion on social media, a dangerous tool as it is -- is appalling. Let the child be a child, for crying out loud.
Check out these pics and tell us with a straight face that this is somehow even remotely OK.
Entertainment - Gossip - Life Style - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
Pope Francis today took part in a Muslim prayer with the Grand Mufti of Istanbul on his second leg of his three day visit to Turkey.
Pope Francis was alongside theGrand Mufti side to side today and clasped his hands for a two minute silent prayer in the 17th-century Sultan Ahmet mosque, aiming to show respect for Islam and encourage stronger ties between the two faiths.
“May God accept it,” Rahmi Yaran, the Grand Mufti of Istanbul told the pope at the end of the prayer.
Lots of children and wellwishers waived Turkish and Vatican flags and chanted “Long live Pope Francis” as the pope cheerfully left the mosque. Pictures below…
Pope Francis, is originally from Argentina and has shown to be quite liberal in his views of the spread of the Christianity and oeace to the world.
Entertainment - Gossip - Life Style - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
A 50-year-old woman shocked doctors with her enormous breasts, Xiamen, Fujian Province, China.
After years of suffering, the woman, known only as Mrs Lin, finally could start a normal life. She has undergone drastic surgery to remove almost 6 kilos of an unnecessary tissue from her breasts.
![]() |
| Mrs Lin’s breasts had been growing ‘crazily’ every since she was 30, so she eventually decided to go to hospital to see if doctors could do anything to help |
Lin’s breast began to grow rapidly in her 30s and only 20 years later – when the size became unbearable – the woman took courage and visited doctors at Xiamen University’s 1st Hospital.
Doctor in charge of Mrs Lin’s case said despite working as a doctor for more than a decade, he had never seen breasts as large as hers, saying that her breasts hung even under the bellybutton.
During the surgery – reduction mammoplasty – at least 6kg of tissue were removed to shrink breasts to a manageable C cup. The amount of fat removed weighs almost twice as much as an average newborn baby.
If the operation was not performed the consequences could have been frightening, ranging from crippling back pain, neck and arm pain to headaches, friction rash and a curvature of the spine, breathing problems etc.
The medical term for giant breasts is gigantomastia, a form of a condition known as hypertrophy of the breast tissue. It is a rare medical condition and is diagnosed where the breasts weigh more than three per cent of the total body weight.
Documentary - Entertainment - Gossip - Health - Life Style - News - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
WHY? Wauza nyago wanaotumika katika video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva (video queens) wametia fora kwa kurekodiwa mikanda ya utupu na kusambaa kwenye mitandao ya kijamii na simu za kupangusa, Risasi Jumamosi lina ripoti kamili.
Ukiachana na Agness Gerald ‘Masogange’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’, Rehema Fabian, Husna Maulid ambao walisharipotiwa huko nyuma, mrembo maarufu kwa jina moja la Lulu ambaye ameuza sura kwenye ‘kioo’ cha Ngoma ya Shitobe ya msanii anayefahamika kwa jina la Y-Tony, naye ameingia katika skendo hiyo.
Uchunguzi wa gazeti hili ulibaini kwamba, asilimia kubwa ya warembo hao hurekodiwa na wapenzi wao wanapokuwa faragha kunako sita kwa sita na pale wanapogombana ndipo wanaume hao huzitupia video hizo mitandaoni ili kuwakomoa na kuthibitisha kuwa tayari amempitia hivyo ni ‘makapi’.
Kupitia Mtandao wa Youtube, mrembo huyo anaonekana kwenye video akicheza muziki wa Bendi ya Yamoto, akiwa mtupu huku ikisikika sauti ya mwanaume ikimsihi aendelee kucheza kwa ahadi kuwa video hiyo ni maalum kwa ajili yake na si mtu mwingine.
“Hii ni special for me, not for anyone,” alisikika mwanaume huyo.
Video hiyo ambayo ilisambaa haraka mwanzoni mwa wiki hii na kuwa gumzo katika mitandao mbalimbali, wafuasi wengi walikuwa wakikemea tabia hiyo ya kurekodiwa wakiwa utupu.
“Hawa wanajitakia wenyewe, haiwezekani uwe na mpenzi halafu umuamini eti akurekodi kwa ajili yake tu, ni ujinga tu unawasumbua.
Kwanza unaruhusu kurekodiwa ili iweje?,” alihoji mdau mmoja mtandaoni.
Baada ya kuitia kibindoni video hiyo, gazeti hili lilimsaka Lulu wa Video ya Shitobe (siyo Elizabeth Michael) kupitia rafiki zake lakini jitihada ziligonga mwamba kwani ilidaiwa kwamba, kutokana na aibu aliyoipata, aliamua kujificha huku akizima simu sambamba na kufuta picha zote kwenye akaunti yake ya Instagram.
Licha ya kuzifuta, mwanahabari wetu alibahatika kumpata kupitia Facebook ambapo anatumia jina la Lulu Mrs Comoro ambako ametupia picha zake lakini akashindwa kutoa ushirikiano.
Mtiririko wa warembo hao kurekodiwa video za ngono ulianza kwa Rehema ambaye alionekana kwenye video ya msanii wa Bongo Fleva aitwaye Pasha.
Baadaye Agness ambaye alishiriki kwenye video ya Wimbo wa Masogange wa Belle 9 akafuata Jack Patrick ambaye ameshiriki kwenye video ya Chungwa ya msanii Sumalee na Nataka Kulewa ya Diamond akafunga dimba kabla Lulu hajaongeza idadi hiyo.
Entertainment - Gossip - News - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
The infamous "pregnant man" Thomas Beatie just got charged with felony stalking ... but he can rest easy ... he won't be joining the pink underwear crowd at Phoenix's Tent City prison.
As we first reported, Beatie was busted for allegedly stalking his ex-wife by tracking her with a GPS device.
Maricopa County court officials tell us ... Beatie -- a transgender man -- won't do time at Tent City even if he's convicted of a felony because he's a first time offender.
As you know Tent City's the place where male inmates are forced to wear pink undies.
The reality is ... Beatie will most likely get probation.
Entertainment - Gossip - Health - Life Style - News - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
Lady Gaga blew up in Paris Monday night.
Gaga finished up the last show of her world tour, then headed out to VIP in the City of Light, and on her way in she pulled the ripcord on whatever that is she's wearing ... and it blossomed into something James Bond's Octopussy would be proud to wear.
So how many people got poked in the eye?
Click Here to watch Video.
Entertainment - Gossip - Photos - Video
Tafadhali Share na marafiki story hii
The video has also captured attention from International media houses like BBC, Daily Mail, Sowentan Live, Afro Cosmopolitan and many more.
In the gory footage, a visibly disgusted Jolly Tumuhiirwe is seen using a spoon to feed the child – Arnella – by force on what looks like porridge. When the child seems to be having difficulty swallowing, she snaps out a command and blurts out: “You are crying?”
She then violently smacks the child twice in the face before proceeding to forcefully feed the child who looks visibly shaken. Perhaps due to the harsh treatment, the child throws up, drawing the full wrath of the maid.
Police has arrested the nanny. She expected to appear before a judge on December 8th 2014 to face further charges that may include attempted murder.
The father, Erick Kamanzi, an employee of a “reputable NGO in Kampala” who had reportedly released the video. He was arrested after Tumuhiirwe laid charges against him, but that police quickly changed their stance and released Kamanzi after he referred them to the video footage.
Documentary - Entertainment - Health - News - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
Mapacha kutoka nchini Nigeria Peter Okoye&Paul Okoye P- Square pamoja na kaka yao Jude Okoye,Jumatatu ya Nov 24 wamempoteza mzazi aliyebakia ambaye ni baba yao mzazi hii ni miaka miwili tangu afariki mama yao.
tovuyi ya www.Naij.com imesema kuwa Mr.Okoye alikua akisumbuliwa na maumivu ya Goti baada ya kufanyiwa upasuaji ingawa hali iliripotiwa kuendelea vizuri.
tovuyi ya www.Naij.com imesema kuwa Mr.Okoye alikua akisumbuliwa na maumivu ya Goti baada ya kufanyiwa upasuaji ingawa hali iliripotiwa kuendelea vizuri.
Entertainment - Gossip - Health - Life Style - Music - News - Photos
Tafadhali Share na marafiki story hii
Subscribe to:
Posts (Atom)


















































Recent Comments