Select Menu

Slider

Powered by Blogger.

Travel

Movie

Cute

Love Zone

Slider

Documentary

Videos


THIERRY HENRY ATUNDIKA NJUMU
Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa Thierry Henry ametangaza kustaafu kucheza kandanda baada ya miaka 20. Henry, aliyeshinda Kombe la Dunia mwaka 1998, na ambaye amepachika mabao mengi zaidi kwa klabu ya Arsenal, aliondoka klabu ya New York Red Bulls mwezi huu. Kulikuwa na tetesi kuwa huenda angekwenda kuchezea timu nyingine. 

"Imekuwa ni safari ya kusisimua," amesema Henry, 37. Thierry Henry sasa anajiunga na kituo cha TV cha Sky Sports kama mchambuzi wa soka. Mfaransa huyo, ambaye pia aliwahi kuichezea Monaco, Juventus na Barcelona, alipachika mabao 175 katika ligi kuu ya England na ni wa nne katika wafungaji bora.

 Henry alishinda makombe mawili ya Ligi Kuu ya England, makombe matatu ya FA akiwa na Arsenal aliyoichezea kati ya 1999 hadi 2007.
Aliongeza Kombe la Klabu Bingwa Ulaya akiwa na Barcelona mwaka 2009 na alirejea Arsenal kwa mkopo, wakati akiichezea Red Bulls mwaka 2012.

- - - - -
Rapper J.cole has taken shots at white entertainer who he claims are stealing black craft.

The rapper feels like Eminem, Macklemore and Iggy Azalea who beat Drake and Eminem for Favorite Rap/Hip-Hop Album & Favorite Rap/Hip-Hop Artist at this year’s American Music Awards are the root of the robbery.
In a new song he named Fire Squad, the half cast rapper said: “History repeats itself and that’s just how it goes / Same way that these rappers always bite each other’s flows / Same thing that my ni**a Elvis did with rock ‘n’ roll / Justin Timberlake, Eminem, and then Macklemore,”



- - -
Kiungo wa mpya wa Yanga, Emerson de Oliveira Neves Rouqe akiwa amewasili Dar es Salaam. Picha na Khatimu Naheka

INGAWA baadhi ya wanachama wanakomaa kwamba Mbrazili mpya wa Yanga, Emerson Roque, asisajiliwe mpaka watakapojiridhisha na uwezo wake, Kamati ya Usajili imetamka kwamba kiungo huyo yupo kwenye ubora wake.



Viongozi hao wamejiridhisha kwamba mchezaji huyo atakuwa na manufaa baada ya kuangalia video zake ambapo mmoja wao amemfananisha na kiungo wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Athuman Idd Chuji wakati alipokuwa kwenye ubora wake enzi za nyuma.


Emerson aliwasili nchini juzi Jumatano akiwa na kocha wake, Marcio Maximo,  ambaye pia anaamini kwamba atafanya vizuri endapo uongozi wa Yanga utajiridhisha katika majaribio yake yatakayomfanya apewe mkataba.

Kigogo mmoja mwenye ushawishi mkubwa kwenye usajili wa Yanga, aliliambia Mwanaspoti kuwa wameona video mbalimbali za mchezaji huyo akiwa na timu alizowahi kuzichezea nchini humo na kutamka kwamba wamepata kiungo mahiri anayestahili kupewa mkataba kuziba nafasi ya Genilson Santos ‘Jaja’.

Jana Alhamisi asubuhi Emerson katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola alifanya mazoezi na wenzake,  lakini Maximo alimpa mazoezi mepesi ya kukimbia akiwa na Andrey Coutinho ambao walichelewa kuanza mazoezi ya pamoja na wenzao walioanza Jumatatu.

“Emerson ana nafasi kubwa ya kusajiliwa kwani tumeona video za mechi zake alizocheza, ni mchezaji mzuri kama alivyokuwa Chuji enzi za ubora wake, kama ataweza kuendana na mfumo wa ligi yetu pamoja na viwanja basi tutakuwa tumepata mbadala wa Chuji au Domayo,” alisema kiongozi huyo mwenye rekodi za aina yake kwenye uongozi wa Yanga ingawa hapendi kutajwa kwenye vyombo vya habari.

“Sisi hatuangalii mchezaji ametoka wapi, tunachojali ni kiwango cha mchezaji husika na kama kocha amemkubali.”

Kuhusu usajili wa wachezaji wengine aliowapendekeza Maximo, alisema kuwa jana Alhamisi jioni viongozi wa Yanga walitarajia kukutana na kocha huyo  ili kujadili mambo mbalimbali ya timu ikiwa ni pamoja na utekelezaji usajili wa wachezaji wa ndani ambao ni viungo Jabir Aziz wa JKT Ruvu na Sabri Makame wa Mgambo Shooting.

“Kocha hajazuia wachezaji kuja kufanya majaribio, ametoa uhuru kwamba kama kuna kiongozi ameona mchezaji mzuri amlete ili ajaribiwe, hivyo hata hao wachezaji wengine wa kigeni kama watakuja hakuna tatizo, watajaribiwa ila nani atakatwa itajulikana baadaye kwani Kiiza (Hamis) hawezi kuachwa ameonyesha kiwango kizuri ila hakujapata nafasi tu,” alisema.

Wachezaji wengine wa kigeni wanaotajwa kuja kufanya majaribio Yanga ni Jonas Sakuwaha kutoka TP Mazembe (Jamhuri ya Congo), Yunus Sentemu kutoka AS Vital (Burundi) na Mohamed Traorre wa  El Mereikh (Sudan) ambaye anatajwa kupewa mkataba moja kwa moja bila majaribio.

Mpaka sasa Yanga ina nafasi moja ya kujaza katika wachezaji wa kigeni kwani tayari inao wanne;  Kiiza, Coutinho, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima. Yanga inaamini kwamba Emerson ana uwezo wa kukaba kwa nguvu pamoja na kutoa pasi za mabao akiziba pia nafasi ya Domayo aliyetimkia Azam FC.

Wakati hilo likiendelea, Maximo ameliambia Mwanaspoti kuwa katika kutaka kukipima kikosi chake kinachojiandaa na mechi dhidi ya Simba ya Nani Mtani Jembe ya Desemba 13, anataka kupata mechi mbili ngumu za kimataifa.

“Nilishawapa kazi hiyo viongozi, ningependa kutafutiwa mechi zitakazotupatia  kipimo kabla ya kucheza na Simba. Desemba 13,”alisema Maximo.



- -
Barcelona Legend Johan Cruyff has rubished claims from former President Joan Laporta that links current Chelsea manager Jose Mourinho and Real Madrid star Cristiano Ronaldo with a move to the Catalan club.
Laporta who is said to be eyeing Barcelona Presidency once again is said to have met super agent Jorge Mendes recently to discuss the issue but according to Cruff, it is highly unlikely.
“I don’t think there’s much to them, they’re just idle comments,” Cruyff told reporters.

“When you talk about something you know nothing about, you end up kicking up a storm for no reason.
“Sport is a game which holds many possibilities, but in this case they are unlikely to be feasible. I don’t imagine that Laporta would bring in Mou and Cristiano.” he concluded.






-
Uganda Cranes returned to winning ways with a 1-0 win over Ghana in a 2015 Africa Cup of Nations (Afcon) qualifier in Kampala on Saturday.

The Cranes had lost their last home game to Togo last month. Defender Savio scored the lone goal in the 10 minute with a well taken header off a corner kick.

The win improved Uganda’s chances of qualifying for the the event after missing out since 1978.

Kabugo who was starting his fifth game for the Cranes in the campaign nodded in a well taken Mike Sserunkuma corner kick. Newly appointed Ugandan Prime Minister Ruhakana Rugunda graced the game as chief guest.

In the absence of injured skipper Asamoah Gyan, the Black Stars who took part in the 2014 World Cup in Brazil lacked a lead player who could plan for the team. Stand in skipper for the Ghana team Andrew Ayew and Christian Atsu failed to go past the Ugandan defenders and were substituted by coach Maxwell Konadu.

The visitors who lead still lead Group E with eight points tried to fight back in the second half, but the home side stood firm. Uganda now moved to seven points before they travel to face Guinea next week in Casablanca, Morocco.

Cranes coach Militin ‘Micho’ Sredojevic told reporters after the game that he was happy with this win and thanks the fans for the support. He however said they now have to plan for next week’s tricky game against Guinea.

The Cranes who last qualified for Afcon in 1978 had five players booked. Skipper Andrew Mwesigwa, Junior Yunus ssentamu, Brian Majwega, Isaac Isinde and Daniel Sserunkuma were all booked. In their first leg clash in Kumasi, Uganda held Ghana to a 1-1 draw.
Team Line Ups
Uganda: Denis Onyango (GK), Isaac Isinde, Brian Majwega, Andrew Mwesigwa (c), Savio Kabugo, Tonny Mawejje, Mike Sserumaga, Farouk Miya, William Luwagga Kizito, Geoffrey Massa and Yunus Sentamu
Ghana: Razak Braimah, Harrison Afful, Baba Rahman,John Boye, Jonathan Mensah Rabiu Mohammed Christian Atsu,Afriyie Acquah, Majeed Waris Agyemang Badu, Andre Ayew




- -
Rick Ross continues to drop new music and visuals for his Mastermind Album, check out “Supreme” video below.  I also added a Billboard magazine photoshoot Q&A with Rick Ross below.

- - - - - - - - - - -
Building three "Great Walls" across Tornado Alley in the US could eliminate the disasters, a physicist says.

The barriers - 300m (980ft) high and up to 100 miles long - would act like hill ranges, softening winds before twisters can form.

They would cost $16bn (£9.6bn) to build but save billions of dollars of damage each year, said Prof Rongjia Tao, of Temple University, Philadelphia.

He unveiled his idea at the American Physical Society meeting in Denver.
However critics say the idea is unworkable, and would create more problems than it solves.
Threat over 'forever'
 
Every year hundreds of twisters tear through communities in the great north-south corridor between the Rocky and Appalachian Mountain ranges.

The proposed walls would not shelter towns - they would not be strong enough to block a tornado in motion.
Instead, they would soften the clashing streams of hot southern and cold northern air, which form twisters in the first place, Prof Tao said.

"If we build three east-west great walls, one in North Dakota, one along the border between Kansas and Oklahoma, and the third in the south in Texas and Louisiana, we will diminish the threats in Tornado Alley forever," he said.

As evidence, he points to China - where only three tornadoes were recorded last year, compared to 803 in the US.

China too has flat plain valleys running north-south, but the difference is they are broken up by east-west hill ranges.

Although only a few hundred metres high, they are enough to take the sting out of air currents before they clash, Prof Tao believes.

Hotspot Back in the US, he notes that the flat farmlands of Illinois experience wildly varying risks of twisters.
"Washington County is a tornado hotspot. But just 60 miles (100km) away is Gallatin County, where there is almost no risk," he told BBC News.

"Why? Just look at the map - at Gallatin you have the Shawnee Hills."
These act like a barrier 200-250m (820ft) high, protecting Gallatin, he says.
"We may not have east-west mountain ranges - like the Alps in Europe - we can build walls."

"We've already been doing computer simulations and next we aim to build physical models for testing [in wind tunnels]."
Rather than create an eyesore, the walls could be "attractively" designed, says Prof Tao.
He cites the Comcast skyscraper in Philadelphia - also about 300m high, and built with a reinforced glass exterior.
"Our tornado wall could even be built of glass too. It could be a beautiful landmark," he told BBC News.
"I spoke to some architects and they said it's possible. It would take a few years to finish the walls but we could build them in stages."
Prof Tao has yet to approach government or environmental agencies with his scheme, but the reaction from meteorologists has been highly sceptical.
Harold Brooks, of the National Severe Storms Laboratory, said the great walls "simply wouldn't work".
- - - - - - - - - - -
Facebook's purchase of mobile messaging service WhatsApp has been opposed by privacy groups.
Mark Zuckerberg's firm is planning to buy the company for around £11bn.

Opponents want US regulators to stop the deal until Facebook provides more information on what it plans to do with the personal data of WhatsApp's users.

But Facebook said it will operate as a separate company and honour existing privacy arrangements, which include not collecting user data for advertising.

"WhatsApp built a user-base based on its commitment not to collect user data for advertising revenue," read a complaint filed with the US Federal Trade Commission (FTC). It was drawn up by two non-profit groups, the Electronic Privacy Information Center and the Center for Digital Democracy.

They added: "Users provided detailed personal information to the company including private text to close friends. Facebook routinely makes use of user information for advertising purposes and has made clear that it intends to incorporate the data of WhatsApp users into the user profiling business model.

"The proposed acquisition will therefore violate WhatsApp users' understanding of their exposure to online advertising and constitutes an unfair and deceptive trade practice, subject to investigation by the Federal Trade Commission."

And the groups, which work on research and consumer protection online, asked the regulators to investigate the deal "specifically with regard to the ability of Facebook to access WhatsApp's store of user mobile phone numbers and metadata".
'Insulate'
 
Facebook, the world's top social network with 1.2 billion users, generates the majority of its revenue by showing ads that target users by age, gender and other traits.

"As we have said repeatedly, WhatsApp will operate as a separate company and will honour its commitments to privacy and security," Facebook said in a statement seen by Reuters.
 
Facebook announced its intention to buy WhatsApp, which has 450 million users who are able to send instant messages and other media over mobile, with cash and stock.

There is no charge for individual messages, which are sent using wi-fi or data connections, making it cheaper than SMS messaging in many cases. Other users pay around £0.60 per year subscription.
Referring to the business model, Jan Koum wrote on the WhatsApp website: "When people ask us why we charge for WhatsApp, we say, 'Have you considered the alternative?'"

Despite assurances by WhatsApp and Facebook that the privacy policies will not change, the groups noted that Mark Zuckerberg's social networking company has in the past amended an acquired-company's privacy policies.

Notably, it did so with the Instagram photo-sharing service that it bought in 2012.
Regulators must require that Facebook "insulate" WhatsApp user information from access by Facebook's data collection practices, read the complaint, which was dated 6 March 2014.

"WhatsApp users could not reasonably have anticipated that by selecting a pro-privacy messaging service, they would subject their data to Facebook's data collection practices," read the filing.

The FTC will decide whether the acquisition can go ahead and, if so, whether or not conditions should be imposed.
- - - - - - - - - - -